NDOA NA MAISHA/ MARRIAGE AND LIFE
Maisha ya mwana mume au mwanamke yeyote yule kabla ya kuoa au kuolewa huwa yamekosa jambo moja la kiuumbaji ambalo vitabu vyote vya dini vimelitaja nalo ni kuwa na masidizi.
The life of a Man a and a women before marriage always lacks one important thing according to all religious books and creation in general and that is why all the books did mention that thing been a HELPER!
Ndoa huwa na pande mbili na hivyo ukitaka uwe upande wa wale wanaofurahia ndoa unatakiwa kufanya mambo kadhaa ila kubwa na la msingi zaidi ni kumtanguliza mwenyezi mungu katika kila jambo kwani ndiye aliyeamuru na kuianzisha ndoa.
Marriage is a two sided, there is the side where some are happy and wish to re-marry while the other side those who are not enjoying at all.The secret here is making God FIRST in all you do then you will succeed.
Mambo mengine ni kukubakli yaishe pale ambapo mwenzi wako hataki kukuelewa. Namaanisha kuwa mwenzako anapokuwa juu kwa hasira au kutokubaliana na wewe basi wewe tulia kubaliana na hali kisha mweleze baadae kwa upole atakuelewa ila mkijifanya wote mpo juu hapatatosha hapo ndani.
Sometimes you have to agree or keep quiet.This is when your partner is angry nor over reacting they you calm down and let it go. Then you will calmly let him/her understand later otherwise there will never be understanding.
Shrikishaneni katika kila jambo .Hii itaondoa kuja kutofautiana pale mmoja anapojua kuwa mwenzie kafanya jambo bila kumshirikisha.
Make sure you involve each other in everything you do. This helps to avoid misunderstanding between you both
Know how to keeping Your Man's Attention After Being Together for a While.
After being with someone for a long period of time, you never want them to lose interest, and by you trying to keep there's it will keep yours as well!!!
1. Step 1
First and foremost, DON'T LET YOURSELF GO!!! Stay fit and beautiful, just like the day he met you! It's easy to get comfortable with someone and without even realizing it you let yourself go! Try to avoid this. If you are just as gorgeous as the first time you caught his eye, his eyes will never have reason to wonder!
2. Step 2
Pick your battles! Men are simple creatures, and the last thing they want is a woman who complicates things. Think about what your mad about before causing an argument with your man. He'll begin to wonder what else is out there if what's at home is always bitching at him.....
3. Step 3
Keep it interesting! Send him a suggestive text or e-mail throughout the day so he has something to look forward to all day long. Kiss him passionately before he leaves for work instead of a peck....I guarantee he'll be thinking about that kiss all day long!
0 comments:
Post a Comment